- Ikunda = upendo
- Anansia = anafuraha
- Aikande = asante baba
- Anaufoo = ana upole
- Aika = asante
- Nsia = furaha
- Ana = shukuru
- Ruyaeli = tafuta hii
- Mesia = masihi
- Eliasante = asante hii
- Ndensia = baba furaha
- Aluseta = ametufurahisha
- Elieshi = anajua hii
- Elisaria = hii ni neema
- Eliayo = kwa kuwa yupo
- Aimbora = hii baraka
- Eliukundi = huu ni upendo
- Nkiraningaya = mwokozi sikia
- Apaufoo = upole uliopitiliza
- Eliuruma/ Elisaria = hii ni huruma/ neema
- Eshimendi = anajua mda
- Nkakyenyi = mwamke wa nyumbani
- Nkamai = wajina wa bibi
- Shiwikyansia = niwekee furaha
- Saria = neema/same he
- Eshiwakwe = anajua wake
- Kubwaeli = kumbuka hii
- Kundasenyi = penda kwenye nuru
- Wangaeli = ita
- Elimuhidimi = kwakuwa anatosha
- Wangandumi = muite bwana
- Werandumi = msubiri bwana
- Irrikyaeli = kubali hili/ hii
- Isawafoo = chunga wako
- Shisalalya = nisimamie
- Elingao = hii ni ngao
- Kusirie = amini
- Onasaa = ona nuru
- Aleonasaa = amepata nuru
- Shekyandumi = nisaidie bwana
- Shekyaeli = nisaidie hii/hiki
- Eliapenda = penda hii
- Elineema = neema hii
- Ndemfoo = bwana ni mpole
- Lookenyi = paza sauti
- Keshenyi = lalashowi
- Lalashowi = keshenyi
- Elyiakwani = kwa kuwa wanahusiana
- Ndelutarami = bwana tusaidie
- Anandumi = shukuru bwana
- Anaeli = shukuru hii
- Shifoya = nisamehe
- Ndenisari = baba ni mwenye nisamehe
- Oshoraeli = omba hii
- Ringaufoo = chunga upole
- Wariaeli = pokea hii
- Terewaeli = omba hii
- Aranyandumi = msikilize bwana
- Shilelandumi = bwana nilee
- Endwasen = aletwe nuruni
- Furahanaeli = furahia hii
- Akiraeli = okoa hii
- Furandumi = furahua bwana
- Shisaria = nisamehe
- Shimarisaeli = nimemaliza hili
- Winyaeli = sumbukia hili
- Alesanjo = ameoshwa
- Ekyandumi = msaidie bwana
- Elishifwaya = nisamehe hii.
- Arakyasaa = ngoja ahadi
- Akaufoo= huu ndio upole
- Shisandumi = bwana nichunge
- Furanaeli = furahia
Asante tutaendelea kukusogezea MAJINA mengine kwa mawasiliano zaidi
0621058168
SirGeorge Boaz Facebook
KiseluTv YouTube