HISTORIA YA KABILA LA WACHAGA,
WACHAGA, Ni moja ya makabila yanapatikana katika nchi/Taifa la TANZANIA, Ni kabila la watu wenye asili ya KIBANTU Lakini pia Ni mchanyiko wa DAMU hasa ya (KIKUSHI) wanaoishi kaskazini mwa TANZANIA chini ya mlima KILIMANJARO...
WACHAGA.... Ni kabila la tatu apa nchini kuwa na idadi ya watu wengi kwa Takwimu za mwaka 2003 kwa kuwa na idadi ya watu 2,000,000/=
NENO UCHAGA lina historia ndefu sana, inaelezwa kwamba misafara ya wafanya biashara iliyokuwa ikiongozwa na waarabu walipokuwa wakipita maeneo ya VUNJO Waliwaona wenyeji wakiwa wamejenga VIBANDA vya kulinda mazao yao yasiharibiwe na wanyama wakawa wanawaita wenyeji hawa kwamba wanaishi VICHAKANI wageni wafanyabiashara na wamisionari walipokuwa wanakuja KILIMANJARO walielekezwa na waongoza misafara kwamba wanaenda nchi ya UCHAKANI wakimaanisha kwamba kwa watu wanaoishi vichakani hatimae wageni wakashindwa kulitamka neno hill vizuri na kulitamka UCHAGANI nalo likabaki kuwa jina la sehemu hii malo hutumika adi sasa.
SHUGHULI kubwa ya WACHAGA Ni BIASHARA,KILIMO NA KAZI ZA OFISINI.
WACHAGA... Ni mkusanyiko wa makabila madogo madogo yaliyosambaa kijiografia kuzunguka mlima KILIMANJARO mashariki hadi magharibi
JIOGRAFIA ya mashariki Rombo,Tarakea unawapata watu wa Mwika,kilema,Marangu,Mamba na Kirua ambayo inajulikana na watu wengi kamaVunjo......
Jiografia ya magharibi wanaoishi wamachame unapata watu wa Oldmoshi,wa-kibosho,wa-uru,wa-Siha na wa-machame
Imeandaliwa na sirGeorge Boaz sway ndeyanka
Msaada wa .........
Mtandao
Maktaba
Masimulizi ya kale onlinetechersway.blogspot.com
JIOGRAFIA ya mashariki Rombo,Tarakea unawapata watu wa Mwika,kilema,Marangu,Mamba na Kirua ambayo inajulikana na watu wengi kamaVunjo......
Jiografia ya magharibi wanaoishi wamachame unapata watu wa Oldmoshi,wa-kibosho,wa-uru,wa-Siha na wa-machame
Imeandaliwa na sirGeorge Boaz sway ndeyanka
Msaada wa .........
Mtandao
Maktaba
Masimulizi ya kale onlinetechersway.blogspot.com
No comments:
Post a Comment
061058168