kwalolya na mashora mbuya yakwa kwifyenda? Kukundee ikuloshaa iidikira kwa kimashamii? embu eta mariso daa-te
Maneno ya kichaga (kimachame) na salamu za kichaga
salamu za kimachame
NB:
mmi=mume
Nka=mke
Mbee=baba
Mma=mama
Kyaa= rika wa kike
Mwaa=rika wa kiume
Mfamau= dada yako
Munamau=kaka yako
Muneru=mdogo wetu wa kiume/kike
Nkyeku= bibi
Mmiku=babu
Mbuya=rafiki
Ngama=asubuhi
Nantwa-mbe-umeamkaje /kwa wanaume
Nantwa-ma-umeamkaje/wanawake AU
kwaantwa fo inda- kisha unaongezea neno la mtu huyo au kiwakilishi chake mfano(Nantwa-mbe,mma,kyaa,mmiku nk)
Nsanyii=mchana
Neisindiswa-mbe-umeshindaje /baba
Neisindiswa-ma-umeshindaje/ kwa mwanamke AU
Kwasindafo-inda- kisha unaongezea neno la mtu huyo au kiwakilishi chake mfano(Nantwa-mbe,mma,kyaa,mmiku nk)
Nkwaany=Jioni
Salamu za wakati huu hufanana na salamu za mchana tu unaweza zitumia hadi muda wa 11:00 jioni
Nkyo-o=usiku
Huwa ni kuagana kwa ajili ya kulala kwa kusema....
Lwarwakisha-mbe,mae,kyaa
lwarwakisha=Tulazwe salama
SALAMU FUPI MPYA ZA VIJANA
Mbony=Mambo
Nyinda=vipi
Shivya=Nambie
Maneno ya kimachame na maana yake
Msoro/Msero- mtoto wa kiume
Mfu- mafuriko
aika/Eka-asante
Tarambwa-panua
kulasaree-fo -usijali
Fiterewo-maombi
Lya-mboo-apa
Lolaa-ona
Wakwe-wake(vandu wakwe=watu wake)
ai-yo- yupo
Kwankooya- ukimpata
Vaanga-ita
Muni-mwenyewe
urere-umbeya
Ifura-kufurahi/furaha
Mmi-Mume
Mka-mke
Ndami-baba yake mumeo
Mammiy- mama yake mume
Mkyeku/mcheku/ msheku - bibi
Mmiku/ meku- babu
Boo/ kyeni/kyan-nyumbani
Mkunde- mpendwa
Itondo-mjinga
isembo-mpumbavu
Mukha/ mringa- maji
Memba/maemba-mahindi
Soko/ maraki-maharage
Mshele-mchele
Mburu-mbuzi
Nguku-kuku
Ngumbe-ngombe
Yanri-Kondoo
Kite-mbwa
Mbaka-Paka
Ifuru-ru-Bundi
Ingala-kaa
kinyany-Mamba
Iketi-Mtu ambaye ajaoa
Shonga-Chakula
Kyandu-kisu
Upanga/ubanga-Panga
Ibengele-kisu/panga butu
Nungu-chungu
Muruwa/malela-maziwa
Mnswa-uji
Iseka-mwanaume ambaye hajatairiwa
Mwi-Jua
Mbwaa-Mvua
kwafo-kwako
ikusaro-mawazo
uvangiso-ubarikio
lumwaani-tumshukuru
Iruwa-Mungu
Mbishwa-Shetani
Kifuu-kaburi
vifuu-makaburi
Safari-kyaro
Inyinyi-Mwizi
mashora-kazi
kindo- kitu
inu-leo
Ngama-asubuhi
Nrima-moyo
Floose-vyote
Mang'aa-malaya
ikokoi-Panya
Isosoro-Mjusi
Ngurana-mtoto wa mbuzi
Ilemba-kudanganya
Udede-Ukweli
Ngama-asubuhi
Nsanyiny-mchana
Nkwany-jioni
Nkyoo-usiku
Mashora-kazi
Kwalolya-pole na kazi
Itumwa-kunyonga
Intiratira-kumshikashika
Isangya-kuosha
Masara-nguo
Ulaalu-sasa
Numa-nyuma
Indouwa-kumjibu
Ekyo kukundye- hicho unachokipenda
Ando amwi-mahali pamoja
Lumiso-kushoto
oko lusha/ndumi- mkono wa kulia
Kufii-karibu
Indo-fo -hivyo hapana
Kitatauri-kipepeo
Tira-shika
wuya-rudi
Kwakooya-ukikuta
Indi-hivi
Maako-mikono
mini-vidole
Lweende-tuende
Iimuya-kupumzika
Kwaasha-mbali
Kwasha-pole kwa safari
Naasa-basi
Soori-nguo
kyighami-nguo iliyochakaa
Karibuni sana kwa atakayehitaji maana/Tafsiri ya neno fulani nitamwambia kwa kichaga inaitwaje.
Shukrani kwa mdogo wangu Celina Boaz kwa ushirikiano wake kwangu.
Natumaini umefurahi sana kwa kufahamu baadhi ya maneno ya kichaga na maana yake.
Kwa maoni ushauri nitafute kwa:
MAWASILIANO
Tell+255 621 058168=Whattsapp
sirgeorgeboazndeyanka09@gmail.com
Google: Mwalimu george boaz
facebook: sirGeorge Boaz
HAI
KILIMANJARO
No comments:
Post a Comment
061058168