- Ikunda = upendo
- Anansia = anafuraha
- Aikande = asante baba
- Anaufoo = ana upole
- Aika = asante
- Nsia = furaha
- Ana = shukuru
- Ruyaeli = tafuta hii
- Mesia = masihi
- Eliasante = asante hii
- Ndensia = baba furaha
- Aluseta = ametufurahisha
- Elieshi = anajua hii
- Elisaria = hii ni neema
- Eliayo = kwa kuwa yupo
- Aimbora = hii baraka
- Eliukundi = huu ni upendo
- Nkiraningaya = mwokozi sikia
- Apaufoo = upole uliopitiliza
- Eliuruma/ Elisaria = hii ni huruma/ neema
- Eshimendi = anajua mda
- Nkakyenyi = mwamke wa nyumbani
- Nkamai = wajina wa bibi
- Shiwikyansia = niwekee furaha
- Saria = neema/same he
- Eshiwakwe = anajua wake
- Kubwaeli = kumbuka hii
- Kundasenyi = penda kwenye nuru
- Wangaeli = ita
- Elimuhidimi = kwakuwa anatosha
- Wangandumi = muite bwana
- Werandumi = msubiri bwana
- Irrikyaeli = kubali hili/ hii
- Isawafoo = chunga wako
- Shisalalya = nisimamie
- Elingao = hii ni ngao
- Kusirie = amini
- Onasaa = ona nuru
- Aleonasaa = amepata nuru
- Shekyandumi = nisaidie bwana
- Shekyaeli = nisaidie hii/hiki
- Eliapenda = penda hii
- Elineema = neema hii
- Ndemfoo = bwana ni mpole
- Lookenyi = paza sauti
- Keshenyi = lalashowi
- Lalashowi = keshenyi
- Elyiakwani = kwa kuwa wanahusiana
- Ndelutarami = bwana tusaidie
- Anandumi = shukuru bwana
- Anaeli = shukuru hii
- Shifoya = nisamehe
- Ndenisari = baba ni mwenye nisamehe
- Oshoraeli = omba hii
- Ringaufoo = chunga upole
- Wariaeli = pokea hii
- Terewaeli = omba hii
- Aranyandumi = msikilize bwana
- Shilelandumi = bwana nilee
- Endwasen = aletwe nuruni
- Furahanaeli = furahia hii
- Akiraeli = okoa hii
- Furandumi = furahua bwana
- Shisaria = nisamehe
- Shimarisaeli = nimemaliza hili
- Winyaeli = sumbukia hili
- Alesanjo = ameoshwa
- Ekyandumi = msaidie bwana
- Elishifwaya = nisamehe hii.
- Arakyasaa = ngoja ahadi
- Akaufoo= huu ndio upole
- Shisandumi = bwana nichunge
- Furanaeli = furahia
Asante tutaendelea kukusogezea MAJINA mengine kwa mawasiliano zaidi
0621058168
SirGeorge Boaz Facebook
KiseluTv YouTube
thanks cousin
ReplyDeletethanks cousin
ReplyDeletethanks cousin
ReplyDeletethanks cousin
ReplyDeletethanks cousin
ReplyDeletethanks cousin
ReplyDeletethanks cousin
ReplyDeleteasante sana mdau wangu wa tovuti hii. sipendi kuwa tofauti nawe ila ni kusaidiana ili tufikie mwisho mwema. ni kweli neno el.. ni la kiebrania na jina kama elshedai elsherafa nk lakini ni kwawaida neno kushabiaba na lugha nyingine mfano hilo el.. jambo la kujua ni kuwa wamachame hawakuwah kuchangaman na waebrania. pia dini ililetwa na ilikuta majina haya yakitumika. jaribu
ReplyDeleteNashukuru sana kwa kuwa mdau wangu wa tovuti hii ya kichaga.
ReplyDelete