Wednesday, February 5, 2020

MAJINA YA KIMACHAME YANAYOONESHA UTAMBULISHO WA MZALIWA


WANAWAKE
  1. mtoto wa kwanza wa kike anaitwa mammi/mae ya mmi (kimachame) ikimaanisha mama yake mume(mzawa wa kike mtaja mama wa mume)
  2. mtoto wa pili wa kike anaitwa (manka) mae ya nkaa ikimaanisha mama yake mke (mzawa mtaja mama mkwe)
mtoto wa kike wa tatu anaitwa (kyeku/kyekwe) ikimaanisha mtaja bibi wa mume (mzawa wa kike mtaja bibi upande wa mme)  NB: KYEKU jina hili huenda pande zote mbili yaani mzawa wa kike mtaja bibi wa upande wa mume au mke mfano MZAWA WA NNE WA KIKE HUITWA kyeku PIA  ila hutaja bibi upande wa wakwe yaani  bibi mzaa mke    
WANAUME    
  1. mtoto wa kwanza wa kiume huitwa (ndammi) ndee ya mmi maana yake ni baba wa mume (mzawa wa kiume mtaja baba wa mume
  2. mtoto wa pili huitwa (ndeyanka) ndeye ya nka maana yake ni baba wa mke (mzawa wa kiume mtaja baba wa mke(wakwe)
  3. mtoto wa tatu wa kiume huitwa nkuu maana yake ni mzawa mtaja babu wa upande wa mme
       NB: NKUU.... haina tofauti na KYEKU; Yaani hutaja pande zote mbili yaweza kuwa upande wa mke au mme mfano wa tatu ataitwa NKUU ila ni mtaja babu wa mume alikitoka. Mzawa wa nne huitwa pia  NKUU huyu hutaja babu upande wa mke alipotoka.kwa usaidizi wa rika tangulizi                         contact                                    0621058168                             sirGeorge boaz facebook
        

No comments:

Post a Comment

061058168