Friday, May 29, 2020

FAHAMU MANENO MIA YA KIMARANGU MAANA YAKE PIA SALAMU ZA KIMARANGU.

Baadhi ya maneno ya kichaga cha marangu.

Habari mdau wangu wa tovuti yangu, Natumaini upo poa leo nakuletea maneno ya kichaga cha marangu na maana yake.

Shimboni Habari yako?

Shimboni mae/mbe Habari yako? mama/baba?

Nashicha=Nzuri

Aika=Ahsante

*mae/mbe yanaweza kuwekwa mbele ya neno lolote la salamu m.f.) "Aika mae" "Aika mbe" Aika monoko=Ahsante mtoto

lakucha=Usiku mwema

Chamecha Pole (hasa kwa safari)

"Aika mbe" kama baba akipika chakula labda)

Nokyelaonacho? N ukelaho u?=Unaitwa nani?

Ngikyelao?=Naitwa

Ramia=Kaa

Tikira=Sogea

N gicho njaa mae , N jiicho Njaa mae=Nina njaa mama

N gacho gicho kie , njiicho njichokie =Nimechoka

Gayura mae - Nimeshiba mama

Ngicho nbeyo,njiicho mbeo=Nina baridi

Ngicho mrike,njiicho mrike =Ninasikia joto

(Ruwa ina maana ya Mungu kwao katika kichaga

ila hapa "maruwa" halihusiani na Ruwa)

memba-- Ndizi

Maimba -- mahindi

mbuya -- rafiki

Ikawilyiaâ Kupalilia

Ilyingoi Jogoo

inyiâ Mimi

Ipalipali Bahari

Ipore =Yai

Irikosoâ =Taji

Isewaâ =Kibuyu

Itukuoâ=Kushangaa

Iwuwuâ =Kuona makengeza

Iyesho=Majaribu

Kiamba=Shamba

Kyasakaâ =Ugenini Mswahili

Kyiaatyiâ =nafasi

kichuminy=barabarani/njia ya kwenda nyumbani

Kyo_kyimaryuâ =Ndiyo sababu

Kyuwereâ=Kumebakia nafasi ndugu

Lakuchaâ=Usiku mwema

Linyalaâ=Kuzarau

Maakulembecheryeâ=Unafiki

Maporeâ=Makande

Mapuchiâ=Mawingu

Masaangaâ=Mataifa

Matu matuâ=Tafadhali

Mbuya=Rafiki

Mchola=Kichochoro

Mkuuchuâ=Kiburi

Mkuuma=Upepo

Mlenyaâ=Mchanga

mmesaâ=Adui

Mtiimaâ=Giza nono

Mmmbaryiâ=Jua

Momrasaâ=Jirani

Momu=hori la ngâombe

Msasarikoâ=Masazo

Msotsa=Kushuka

Na-Ngosera=Na zaidi

Ndekyeâ=Ndege

Nduwa Dimbwi

Ngambura=kipande cha nyama

Njoonyiâ=Ngozi

Nyi Kryirumiâ=Ni Utukufu

ote=hapana

O tana=Pole na kazi.

O kora mae=Ahsante mama kwa kunipikia chakula

Okora mae lipo ila huwezi kusema "Okora mbe"

O roka, H oroka=Simama

Paraparaâ=barabara

Pfinyaâ=Nguvu

Rumbuâ=Mdomo

Seraâ=Mgomba mchanga

Taâ=Ngâ ombe jike

Tikira=sogea

ukou=Jana

Ulakusoâ=Tafadhali

Ulowoâ=Habari

Ungaâ=msoo

Unyamariâ=Dhambi

Ushangunyâ=Usoni

Walutsaâ=Geuza

Wandaâ=chini

Shukrani Kwa bibi yangu kipenzi MAMSENGA kwa ushirikiano wake kwangu.

Natumaini umefurahi sana kwa kufahamu baadhi ya maneno ya kichaga cha marangu na maana yake. Kwa maoni ushauri nitafute kwa:

MAWASILIANO

Tell+255 621 058168=Whattsapp

sirgeorgeboazndeyanka09@gmail.com

Google: Mwalimu george boaz

facebook: sirGeorge Boaz

HAI

KILIMANJARO


No comments:

Post a Comment

061058168