Saturday, July 6, 2019

LUGHA YA WACHAGA

LUGHA YA WACHAGA


Kutokana na jiografia ya msawazo wa WACHAGA lugha ya kichaga  inabadilika kuanzia unapotoka TARAKEA mpaka unapofika SIHA

KUTOKANA na msawazo huo wa kijiografia kichaga kimegawanyika katika KIROMBO ambacho nacho hutofautiana kadiri unapotoka eneo moja kwenda  lingine mfano kisseri,kirombo,kioldmoshi,kiru,kingassa,kimahida,kimkuu,kimashati,kivunjo,kimarangu,kimarangu,kibosho,kisiha  cha kushangaza lugha hizi zinakaribia kufanana kulingana na makabila yanavyoanza kupakana kwa mfano kivunjo kinafanana na kioldmoshi, kimachame kinafanana na kisiha pia kinafanana na kikibosho.....

Kulingana na shughuli za kutafuta riziki Baadhi ya wamachame walihamia sehemu za meru ,Arusha na kuchanganyikana na waarusha hivyo LUGHA yako ilibadilika kidogo kuwa kimeru sababu hiyo wameru wanasikilizana Sana na wamachame ingawa lafudhi zao zinatofauyiana kidogo 


Imeandaliwa na sirGeorge Boaz sway ndeyanka
Kwa usaidizi wa
Mtandao
Maktaba 

No comments:

Post a Comment

061058168