Friday, May 29, 2020

SALAMU ZA KIMACHAME;, KAMUSI YA MANENO YA KICHAGA NA MAAANA ZAKE.


kwalolya na mashora mbuya yakwa kwifyenda? Kukundee ikuloshaa iidikira kwa kimashamii? embu eta mariso daa-te

Maneno ya kichaga (kimachame) na salamu za kichaga

salamu za kimachame

NB:

mmi=mume

Nka=mke

Mbee=baba

Mma=mama

Kyaa= rika wa kike

Mwaa=rika wa kiume

Mfamau= dada yako

Munamau=kaka yako

Muneru=mdogo wetu wa kiume/kike

Nkyeku= bibi

Mmiku=babu

Mbuya=rafiki

Ngama=asubuhi

Nantwa-mbe-umeamkaje /kwa wanaume

Nantwa-ma-umeamkaje/wanawake AU

kwaantwa fo inda- kisha unaongezea neno la mtu huyo au kiwakilishi chake mfano(Nantwa-mbe,mma,kyaa,mmiku nk)

Nsanyii=mchana

Neisindiswa-mbe-umeshindaje /baba

Neisindiswa-ma-umeshindaje/ kwa mwanamke AU

Kwasindafo-inda- kisha unaongezea neno la mtu huyo au kiwakilishi chake mfano(Nantwa-mbe,mma,kyaa,mmiku nk)

Nkwaany=Jioni

Salamu za wakati huu hufanana na salamu za mchana tu unaweza zitumia hadi muda wa 11:00 jioni

Nkyo-o=usiku

Huwa ni kuagana kwa ajili ya kulala kwa kusema....

Lwarwakisha-mbe,mae,kyaa

lwarwakisha=Tulazwe salama

SALAMU FUPI MPYA ZA VIJANA

Mbony=Mambo

Nyinda=vipi

Shivya=Nambie

Maneno ya kimachame na maana yake

Msoro/Msero- mtoto wa kiume

Mfu- mafuriko

aika/Eka-asante

Tarambwa-panua

kulasaree-fo -usijali

Fiterewo-maombi

Lya-mboo-apa

Lolaa-ona

Wakwe-wake(vandu wakwe=watu wake)

ai-yo- yupo

Kwankooya- ukimpata

Vaanga-ita

Muni-mwenyewe

urere-umbeya

Ifura-kufurahi/furaha

Mmi-Mume

Mka-mke

Ndami-baba yake mumeo

Mammiy- mama yake mume

Mkyeku/mcheku/ msheku - bibi

Mmiku/ meku- babu

Boo/ kyeni/kyan-nyumbani

Mkunde- mpendwa

Itondo-mjinga

isembo-mpumbavu

Mukha/ mringa- maji

Memba/maemba-mahindi

Soko/ maraki-maharage

Mshele-mchele

Mburu-mbuzi

Nguku-kuku

Ngumbe-ngombe

Yanri-Kondoo

Kite-mbwa

Mbaka-Paka

Ifuru-ru-Bundi

Ingala-kaa

kinyany-Mamba

Iketi-Mtu ambaye ajaoa

Shonga-Chakula

Kyandu-kisu

Upanga/ubanga-Panga

Ibengele-kisu/panga butu

Nungu-chungu

Muruwa/malela-maziwa

Mnswa-uji

Iseka-mwanaume ambaye hajatairiwa

Mwi-Jua

Mbwaa-Mvua

kwafo-kwako

ikusaro-mawazo

uvangiso-ubarikio

lumwaani-tumshukuru

Iruwa-Mungu

Mbishwa-Shetani

Kifuu-kaburi

vifuu-makaburi

Safari-kyaro

Inyinyi-Mwizi

mashora-kazi

kindo- kitu

inu-leo

Ngama-asubuhi

Nrima-moyo

Floose-vyote

Mang'aa-malaya

ikokoi-Panya

Isosoro-Mjusi

Ngurana-mtoto wa mbuzi

Ilemba-kudanganya

Udede-Ukweli

Ngama-asubuhi

Nsanyiny-mchana

Nkwany-jioni

Nkyoo-usiku

Mashora-kazi

Kwalolya-pole na kazi

Itumwa-kunyonga

Intiratira-kumshikashika

Isangya-kuosha

Masara-nguo

Ulaalu-sasa

Numa-nyuma

Indouwa-kumjibu

Ekyo kukundye- hicho unachokipenda

Ando amwi-mahali pamoja

Lumiso-kushoto

oko lusha/ndumi- mkono wa kulia

Kufii-karibu

Indo-fo -hivyo hapana

Kitatauri-kipepeo

Tira-shika

wuya-rudi

Kwakooya-ukikuta

Indi-hivi

Maako-mikono

mini-vidole

Lweende-tuende

Iimuya-kupumzika

Kwaasha-mbali

Kwasha-pole kwa safari

Naasa-basi

Soori-nguo

kyighami-nguo iliyochakaa

Karibuni sana kwa atakayehitaji maana/Tafsiri ya neno fulani nitamwambia kwa kichaga inaitwaje.

Shukrani kwa mdogo wangu Celina Boaz kwa ushirikiano wake kwangu.

Natumaini umefurahi sana kwa kufahamu baadhi ya maneno ya kichaga na maana yake.

Kwa maoni ushauri nitafute kwa:

MAWASILIANO

Tell+255 621 058168=Whattsapp

sirgeorgeboazndeyanka09@gmail.com

Google: Mwalimu george boaz

facebook: sirGeorge Boaz

HAI

KILIMANJARO


FAHAMU MANENO MIA YA KIMARANGU MAANA YAKE PIA SALAMU ZA KIMARANGU.

Baadhi ya maneno ya kichaga cha marangu.

Habari mdau wangu wa tovuti yangu, Natumaini upo poa leo nakuletea maneno ya kichaga cha marangu na maana yake.

Shimboni Habari yako?

Shimboni mae/mbe Habari yako? mama/baba?

Nashicha=Nzuri

Aika=Ahsante

*mae/mbe yanaweza kuwekwa mbele ya neno lolote la salamu m.f.) "Aika mae" "Aika mbe" Aika monoko=Ahsante mtoto

lakucha=Usiku mwema

Chamecha Pole (hasa kwa safari)

"Aika mbe" kama baba akipika chakula labda)

Nokyelaonacho? N ukelaho u?=Unaitwa nani?

Ngikyelao?=Naitwa

Ramia=Kaa

Tikira=Sogea

N gicho njaa mae , N jiicho Njaa mae=Nina njaa mama

N gacho gicho kie , njiicho njichokie =Nimechoka

Gayura mae - Nimeshiba mama

Ngicho nbeyo,njiicho mbeo=Nina baridi

Ngicho mrike,njiicho mrike =Ninasikia joto

(Ruwa ina maana ya Mungu kwao katika kichaga

ila hapa "maruwa" halihusiani na Ruwa)

memba-- Ndizi

Maimba -- mahindi

mbuya -- rafiki

Ikawilyiaâ Kupalilia

Ilyingoi Jogoo

inyiâ Mimi

Ipalipali Bahari

Ipore =Yai

Irikosoâ =Taji

Isewaâ =Kibuyu

Itukuoâ=Kushangaa

Iwuwuâ =Kuona makengeza

Iyesho=Majaribu

Kiamba=Shamba

Kyasakaâ =Ugenini Mswahili

Kyiaatyiâ =nafasi

kichuminy=barabarani/njia ya kwenda nyumbani

Kyo_kyimaryuâ =Ndiyo sababu

Kyuwereâ=Kumebakia nafasi ndugu

Lakuchaâ=Usiku mwema

Linyalaâ=Kuzarau

Maakulembecheryeâ=Unafiki

Maporeâ=Makande

Mapuchiâ=Mawingu

Masaangaâ=Mataifa

Matu matuâ=Tafadhali

Mbuya=Rafiki

Mchola=Kichochoro

Mkuuchuâ=Kiburi

Mkuuma=Upepo

Mlenyaâ=Mchanga

mmesaâ=Adui

Mtiimaâ=Giza nono

Mmmbaryiâ=Jua

Momrasaâ=Jirani

Momu=hori la ngâombe

Msasarikoâ=Masazo

Msotsa=Kushuka

Na-Ngosera=Na zaidi

Ndekyeâ=Ndege

Nduwa Dimbwi

Ngambura=kipande cha nyama

Njoonyiâ=Ngozi

Nyi Kryirumiâ=Ni Utukufu

ote=hapana

O tana=Pole na kazi.

O kora mae=Ahsante mama kwa kunipikia chakula

Okora mae lipo ila huwezi kusema "Okora mbe"

O roka, H oroka=Simama

Paraparaâ=barabara

Pfinyaâ=Nguvu

Rumbuâ=Mdomo

Seraâ=Mgomba mchanga

Taâ=Ngâ ombe jike

Tikira=sogea

ukou=Jana

Ulakusoâ=Tafadhali

Ulowoâ=Habari

Ungaâ=msoo

Unyamariâ=Dhambi

Ushangunyâ=Usoni

Walutsaâ=Geuza

Wandaâ=chini

Shukrani Kwa bibi yangu kipenzi MAMSENGA kwa ushirikiano wake kwangu.

Natumaini umefurahi sana kwa kufahamu baadhi ya maneno ya kichaga cha marangu na maana yake. Kwa maoni ushauri nitafute kwa:

MAWASILIANO

Tell+255 621 058168=Whattsapp

sirgeorgeboazndeyanka09@gmail.com

Google: Mwalimu george boaz

facebook: sirGeorge Boaz

HAI

KILIMANJARO


METHALI MIA ZA KICHAGA(machame) NA TAFSIRI ZAKE.

MISEMO YA KICHAGA 100 (machame) NA MAANA YAKE Fyaaso makumii iyana fya kimashami.

maneno ya kichaga cha machame na maana yake. 

Kwanza natanguliza shukrani zangu kwa Mzee Boaz swai na Bi Josephine swai pamoja na mdogo wangu mpendwa Celina Boaz (mziwanda) kwa kunipa ushirikiano katika suala hili la kuandaa makala hii nzuri ya kimachame.

1.Muna shoonga=Mtoto ni chakula. 

2.Kite maae= Mbwa ni mama yake.

3.mwaafu mmbeiye nyama shiwanri immaye ukuwi=mlafi mkatie nyama nono imkinaishe.

4.Amba ukiva n'lwakwa, kulaambe nlweru-fo= sema shida ni yangu usiseme ni yetu.

5.Irwa-rwa ni ndoo na ikaa mau= mtembea bure si sawa na mkaa bure/kutembea ni kujifunza mengi.

6.Kirendeeya kiishi mangi-fo= ajali haimjuhi mfalme

7.Kulaalwe ukwe waaro-fo=Tusing'anga'anie vya kuomba.

8.Kulakushele na nlota wa nsoro ungi-fo= usisafirie nyota ya mwenzako.

9.Kwakumbwa ya makambo nkulala rwe-fo=yaliyopita si ndwele.

10.Kwalemba nrini nkwi kurwaa nafo mwanao?= Usimtukane ngariba uzazi ungalipo/usimtukane mamba kabla ya kuvuka mto.

11.Kwalala kufii na mangi nkukumbwa irunda-fo=Ashibae kila siku hatakumbuka kufanya kazi.

12.Kishapu kya kana mmbo kiraa ngota kya iirupa=mdomo hutoa maneno matusi ya kuchefua kuliko ushuzi.

13.Ndumi akapoo ifumu limwi-fo=mwanaume auliwi na mkuki mmoja.

14.Uroko ngatara= uvivu ni umaskini.

15.Mangi mbandu=Uongozi/ufalme ni watu.

16.Ando mangi akai nkurumbukau ndeye-fo=penye utawala bora sheria hufuatwa.

17.Kinungu kitula mmbo kyelema irika

18.Kilwa kikaamba shiwikaa mwana wakwa nsee, Na ukyele lukairikya neeny-da= chura akisema ntamvika mtoto wangu mkufu, Mtoto wake huruka mbali kuliko.

19.Ing'uruu llyitura mammi-fo= chongo hakosi mwenza.

20.Fira shiikimbe nnyilyee ng'aumbe-fo= Tahadhali ni kinga ya balaa.

21.Fyandu fivii nfikaa kibony kimwi-fo=mafahali wawili hawakai zizi moja.

22.Eeshi aviyoo=Anajua aambiwacho.

23.Ando mburu ilelyiya mmbala nnyenda-u lyimwi-fo= Pende uhondo hapakosi hodi hodi kila saa.

24.Ifuwe llyilolyaa numa ya wayo-fo= nyani haoni kundule

25.Ando kulashuuta-u weesi utau ndeu=Sehemu usioweza kutoa kikubwa toa apo kidogo.

26.Ikarang'a llyaara na mwana keenda=malezi ni utotoni.

27.Iwo lya nsoro ni ifirya ndi=kuanguka kwa mwanaume ni kupiga magoti/kusalimu amri.

28.Kookya meengi maata mmbo ashoongwaa=mtaka yote kwa pupa hukosa yote.

29.kookya ukiva au utondo lluyaa-fo= shida haina kwao.

30.Kwafigya nre nkusheny mmbo tirafunaa nkusha=chelewa chelewa utakuta mtoto si wako/Bandu bandu humaliza gogo.

31.Kwiikundye iilwa isya ilwa mbele ngerengere=ukitaka kufanikiwa katika maisha ondoa kwanza vikwazo.

32.Lema ura lwiikee ushu=samaki mkunje angali mbichi.

33.Kya nkunde kiporaa iru=Wema hauozi.

34.Kwalya na mangi kulankumbe kana-fo=Ukishiba na mkubwa usiseme siri zake.

35.Fiko ikalema kitei nnyilema kitambasii-fo=Fuko akishindwa mtego awezi kutataa uzi wa kutega.

36.Uninii shumbi/mmbala=ukubwa ni dawa.

37.Fira eende wafo=Vitani ni kukutana na wakwako.

38.Esa ruwa nsengye=fikiri kabla ya kutenda.

39.Ando kooka nndu mmbo ariirwa-u ndu=Panapotoka kitu hurudisha kitu.

40.Kilwa nkiseswaa nkya-fo=chura haiulizwi mkia.

41.Kimburu kya tora ntambatamba= Debe tupo hulia.

42.Kwatia iriti muro mmbo lyikumaraa=shukrani ya punda ni mateke.

43.Kwasikya ufu nkusikyaa kyiyio-fo- mficha maradhi kifo humumbua.

44.Ing'ana n'yirambuka=kukua ni kupambanua.

45.Kulaarafume kulaore ifua lyammaanga wookony-fo= usishukuru kabla ya kupewa.

46.Kiteende mmbo kivee ndu=Maskini huweza kuamka tajiri.

47.Nree ngama=Kazi ni asubuhi.

48.Kwakapa mmbwa na iriso mmbo lyishiyaa=Ukiumiza pua na sikio hulia.

49.Vandu masaa=watu ni mali.

50.Ikunda llyipwaa-fo=wema hauozi.

51.Kisumu kya mamwiingi nkiviraa ikundu-f0=Penye wengi kuna mengi.

52.Kwanlwaa mmbo kukee kipule kya waanga=Ukiugua ndio kula ya mganga.

53.Iwia mmbo lyefuma nunguny lyikawo rukony=mruka mkojo hukanyaga kinyesi.

54.Kyooka nrweny kikawooya okony=Kimetoka kwake kikarudi kwake.

55.Ikooru lyikaamba, kweenda waaiyo mmbo kukiiya fongo ta ndu ivii= mtembea pole hajikwai.

56.Kya nkunde kiporaa iru=pendo kwa uumpendae haliozi.

57.Kyimwi kyo kiwoonisa ikumi= moja ndio huzaa kumi.

58.Kiwaka nkirekaa-fo Asili haipotei.

59.Mushu nnyirekaa-fo=mila haipotei.

60.Kite nkikuuyaa waasiony-fo=Mtu ni kwao/mdharau kwao ni mtumwa.

61.Kite kikammiluka mayoo nkikiidimaa imara-fo=Mbwa mzee hawezi kungata.

62.Kite kikammiluka mayoo nkikiidimaa iringa poo-fo=mbwa mzee hawezi kulinda nyumbani.

63.ngukuu ifufulaa nyo iwura=kuku anayechakura ndio anaye shiba.

64.Kifurumba au kififi mmbo kyeema nndu iraiya muu=Wivu ndio huponza kutokuendelea.

65.Samu nshiroo ngota mura=Damu nzito kuliko maji.

66.Isoka lyiishi munyi=mtu hujua wake.

67.Ishaaswaa isikyoo iriso=funika kombe mwanaharamu apite.

68.Ikisinda n'reminy mmbo yasia muye=subira yavuta heri.

69.Kwelolya nremi wa mbai wiilyiwaa na numa mmbo ulatyaa wafo=mwenzako akinyolewa zako tia maji.

70.kwitanaa mmba wika-fo ngwe ta ndiiri=Ukiwa unajenga weka huko nguzo imara.

71.Urokoo ngatara=uvivu ni umaskini.

72.Uniiny nyi nrii=ukubwa dawa.

73.Akee kufii na irambaa nyawoiwa nalyo-fo=aliyeko karibu na mti aangukiwi nao.

74.Nkushaa/mbushaa  mbumasana-fo=biashara haigombi.

75.Ikasana seelyo ifika-fo=kukazana sio kufika.

76.Arungutaa nrwee nyalala shaa-fo=Ajishughulishae alali njaa.

77.Kwalolya vana wa miiso na maaye nnyoo kufii akai=Ukikuta watoto wa chui, mama yao yupo apo karibu.

78.Kuleele wakongingo-fo=Usidharau asiyekuwa nacho.

79.Kiteende mmbo kivee nndu=

80.Kite kilandewio baada nkyandemaara-fo=Mbwa hung'ata baada ya kusaksiwa.

81.Kookya meengi maata mmbo ashoongwaa=Mla vingi huvimbiwa.

82.Kinungu kitula mmbo kyelema irika=mbaya hutengwa na jamii.

83.Nshele mbaana=Furaha ni watoto.

84.Mbuya nyi-nri=Rafiki ni dawa.

85.Lyafo ni lyafo na lyikasukya ao lyikananyaa=Mtu ni ndugu yake hata kama ni kilema.

86.Kweenda na kite waasieny nkiwuyaa fo= Ukienda na mbwa machinjioni hakitarudi.

87.Kwaantya muro irininy mmbo udukyaa=Mzua janga humfika.

88.suwana ntilee ando amwi-fo= Mafahali mawili hayakai zizi moja.

89.kuleere iwe ruweny ikusyedo-fo=Usimchokozi mkimya.

90.Koota kite irinin mmbo kikumaraa=shukrani ya punda mateke.

91.koota ngashe mmbo ikukapaa inanga= Ukiwa unamtoa ndama atakupiga teke.

92.Kana ntitiraa muni fo= uongo hauna muhusika.

93.Kinungu kitula mmbo kyekema irika=mwovu hutengwa na jamii.

94.Nungu ibarikya mwoongony=chungu hupasukia mlangoni.

95.Mfe umwi mmbukora mmba=Njiti moja huchoma nyumba.

96.Kindo kyeema kikwa kisheeta ni iwe kwasii ya wayo= maendeleo hukwamishwa na vikwazo.

97.Kulasaamise mfongo ando ulasaama-fo= Usilazimishe maji kupanda mlima.

98.Nrema sinde ya mfongo= Lima kando ya mfereji.

99.Kweeta mwana eshiyiaa nnyakenkape-fo=Ukiona mtu analalamikia maafa maafa, Jua Maafa hayajampata.

100.Kweeta kapa, kulaambe waa-fo Amba tira shishe, Kulakooye ansandyo-fo wafo= Ukiskia piga, Usiseme ua maana unaweza kuta ni mtu wako.


Shukrani zangu za dhati ni kwako wewe mdau wangu wa nguvu wa tovuti hii.

Natumaini umefurahi sana kwa kufahamu misemo ya kichaga. 

Kwa maoni ushauri nitafute kwa:

MAWASILIANO

Tell+255 621 058168=whattsapp

sirgeorgeboazndeyanka09@gmail.com

Google: Mwalimu george boaz 

facebook: sirGeorge Boaz 

HAI

KILIMANJARO

Sunday, May 10, 2020

MAVAVASO MEELE"!!


MAVAVASO MEELE IKUMI A IRUVA.

U hali gani? mdau wangu wa nguvu wa tovuti yangu! leo napenda kukuletea amri kumi kwa lugha ya kichaga na maana zake kwa lugha ya kichaga pia.

1.IVAVASO LYA MBEE.

Yen ni ndumi  shikee iruva wafo! nta kulatire maruva engi kulaore ni yen-fo

A yekyo kiiriye iluvia inda? 

kuti luve veiryaa iruva ngota findo fyoose na inkunda na ikusirya nawe.

2.IVAVASO LYA KAVII. 

Kulasende irina lya nndumi we iruva  wafo kikee kya ruu-fo. Mashika nndumi nnasheraa nalaorwa yeto asenda irina lyakwe kikee kya ruu-fo.

A yekyo kiiriye iluvia inda? 

Kuti luve veirya iruva na inkunda, Naambo lure lulaarara na irina lyakwe, Nta ilya nalyo mboo, Nta iveiya nalyo usavi, Nta yaamba nalyo woongo, nta ilemba nalyo. Mmbo lushembanga  nalyo wo kyeeri lukee ukiven na intereva  nalyo, na imwarafuma  nalyo, Na imwana nalyo.

3.IVAVASO LYA KARARU.

Kumbwa nkonu wa iimuya kuuvike mwelee.

A yekyo kiiriye iluvia inda? 

Kuti luve veiryaa iruva na inkunda, Naambo lure lulamina ufundo na ndera yakwe. Mmbo lushefyalwa  fyeele, Luveva na umale lweafyarafuma na ikulosha.

4.IVAVASO LYA KAANA.

Indya ndoo na mau, Naambo kukooye iviiri na muu mwaasha kunu uruken.

A yekyo kiiriye iluvia inda? 

Kuti luve veiryaa iruva na inkunda, Naambo lure lulamina nde na ma na vannduni veru, Nta lulavafulute vatirwa ni unyafi. Mmbo lushevavikyaa unini na ivafurukanya na iveeirikya na ivatirya ukundi na makya. (kya ndeye wa nndu na maye)

5.IVAVASO LYA KARANU.

Kulawae

A yekyo kiiriye iluvia inda? 

Kuti luve veiryaa iruva na inkunda, Naambo lure lukavika uroyeeru ivina lya nyama takwe, Nta inlisia ukiva. Mmbo lusheenweekya na iimbikya kililika wo kyeeri alolya ukiva lya efo nyamin takwe.

6.IVAVASO LYA KARINDARU.

Kulatuuse nta kulatuuswa

A yekyo kiiriye iluvia inda? 

Kuti luve veiryaa iruva na inkunda, Naambo lukae-fo lukee na uvaramu na son shisha lwireraa na yuuta, na wo nndu na vakundani na indyana.

7.IVAVASO LYA NFUNGARE

Kulaive

A yekyo kiiriye iluvia inda? 

Kuti luve veiryaa iruva na inkunda, Naambo lure lulaipo pesa uroyeeru nta kindo kyakwe alimye, Nta lulaaluye kweru lwikumbyana na yurana nawe kikee kya ilemba, Mbo lushemwekya iringa masaa akwe na shoonga takwe fyende fikwengeraa.

8.IVAVASO LYA NYANYA.

Kulavikye ukureeki lwefingya uroo kindo kya wongo.

A yekyo kiiriye iluvia inda? 

Kuti luve veiryaa iruva na inkunda, Naambo lure lulaekerya uroyeeru kindo kya wongo, Nta indiingya, Nta imbikya ureree, Nta insuta vandun. Mmbo lushambaa-u kya imbuta usutu, na insenda na kisha, na imweekya irera kyakwe kyoose kikashiiya vandu.

9.IVAVASO LYA KEENDA.

Kulalange mmba ya uroo.

A yekyo kiiriye iluvia inda? 

Kuti luve veiryaa iruva na inkunda, Naambo lure lularivanga ding'u ya uroyeeru ao mbaa yakwe, Nta lulafyalwe freeru na mwaandu wa ntambo. Mmbo lushenkapanyaa na imbikya ngarami nakae nafyo.

10.IVAVASO LYA IKUMI. 

Kulalange nka wa uroo, Nta nsoro wakwe wa poo, Nta mwana wakwe wa kika wa poo, nta muna findo avikye efo kyen, nta kindo kingi atiri na kikavi kii.

A yekyo kiiriye iluvia inda? 

Kuti luve veiryaa iruva na inkunda, Naambo lure lulakapaa  nka wa uroyeeru matuusa, Nta vandu va efo kyen kwakwe, nta lulavaaye vauke kwakwe, Nta lulavasuvanise nawe. Mmbo lushevaikimaa vakae nawe na intanya mashora avasumanyi.

Asante sana na ubarikiwe mdau wangu wa nguvu.

Usiache kunishauri, kunipa maoni  na hata kuboresha kupitia njia hizi apa chini.

sirGeorge boaz ndeyanka

mwandishi

sirgeorgeboazndeyanka@09gmail.com

tell: +255 621058168

HAI

KILIMANJARO


AWAMASHAMI NKWI VAUKYE NAFO"?

AWAMASHANI NKWI VAUKYE NAFO?


Niyinda mbuya yakwa:

Mbandu vavii veuka efoo ifumbuu lya usambara vakasha veryani na mae waawo na vakavawo.

Vandu yevo vefika ando kuwangwaa Nkyeku.

kyeeri vefika maye waawo kainutwa, Maye waawo ekimaa ilala vandu valya vakalakana. Umwi vawo karummbua na kwa Varwa mmbwe eto avangwaa NRWA(mmeru) na ungi karumbua na taari ya ngama ya ndoo kafika sieny(uswaa) mmbwe mashami eto avangwaa Mmashami(mmachame).

Mashami na nka wakwe vakasimbwa vana vararu, Umwi evaangwaa MUSHI ungi ni LEMA na ungi ni NKYA.

Vana yewo veeka alya sieny(uswaa) Fyeeri fyaangu vakakwiipo vakafika kalaly. Lema keenda na taari ya Nronga, Mushi karwa na foo, na Nkya kandelala kyalia.

kwa msaada wa:

uvyaa lwa kimashami

sirGeorge boaz ndeyanka

mwandishi

sirgeorgeboazndeyanka@09gmail.com

tell: +255 621058168

HAI

KILIMANJARO