Shamwindia ndee na maa, kwalolya na mashora.
Shamwanaa denyi na ntiri ifugha lyevareiya ningi mbonyi teru ta kimashami. ando kulolya kutiri ulemi woi na woi ambaa daa. Kimaghuma kyelwekya isi vana wakoo lukuloshee na imanya kimashami nambo luidimie elosha na vana veghu.
ivuva kakwidimisia engera kulasare foo. kwengerie daa.B,
b
Bandama /bandama/ <li-> bandama: baba
autwa ~ baba ametolewa bandama.
Biri /biri/ <ki-vi> kisogo: ~ ikee
numa ya nghwe, Kisogo kipo sehemu ya nyuma ya kichwa.
E, e
Eeva/ɛɛβa/ <li-ya/ bega: ~ lyafika, bega
limevunjika.ʊ
F, f
Fii /fii/ <u-zi> nywele: shikeuta
~ ninanyoa nywele.
Fiko /fikɔ/ <i-zi> figo: mwana alwee ~
mtoto anaumwa figo.
I,
i
Ibusi /ibʊsi/ <i-zi> korodani: ng’umbe
yaghumbuwa ~ ng’ombe amekatwa korodani
Ifua /ifʊa/ <u-zi> mfupa: afika ~ lya eeva,
amevunjika mfupa wa bega.
Ifua lya
mbwa/Ifʊa lja mbwa/ <u-i> mfupa wa
pua: ~ lyikee lyuumu den fo, mfupa wa pua sio mgumu sana.
Ifua lya
ng’ang’ani /ifʊa lja ŋaŋani/ <u-> uti wa
mgongo: ~ lyafika, uti wa mgongo umevunjika.
Ifua lya
si/ifʊa lya si/ nm <u-i> mfupa wa
maungo ya chini: marende alungywe ~ miguu imeungwa kwenye mifupa ya maungo ya
chini.
Ikekele /ikɛkɛlɛ/ <li-ya> kwapa: ~ lyitiri fii
shiingi, kwapa lina nywele nyingi.
Ikoro /ikɔrɔ/ <li-> koromeo: amanywa~
amekatwa koromeo.
Ilungo
lya singo<ilʊŋgɔ lya siŋgɔ/ nm <u-zi>
pingili ya shingo: ~ lyeeghuka, pingili ya shingo imeteguka.
Iongosho /iɔŋgɔ∫ɔ/ <i-zi> kongosho: alelwaa ~
kafwa, aliumwa kongosho akafa.
Irima /iɣima/ <li-ya> ini: nyama ya ~ irola
den, nyama ya ini ni tamu sana.
Iriso /iɣisɔ/
<li-ya> Jicho: ~ likeuta misoru, jicho linatoa machozi.
Itaari /itaaɣi/ <li-ya> paja: ~ lyakwa
llyisise, paja langu ni jembamba.
Ivashivashi /׀βa∫iβa∫i/ nm <li-ya> pafu (mapafu): ~
lya nndu lyikaishwa mura kuti afwe, mapafu ya mtu yakijaa maji lazima afe.
Ivee /iβɛɛ/ <li-ya> ziwa, titi, nyonyo: nka
ulya atiri ~ lyimwi, yule mwanamke ana ziwa moja.
Iyoo /Ijɔɔ/ nm <li-ya> jino: ~ lya mwana
lyikeiluwa ndesi, jino la mtoto litangolewa kesho.
Iyusi /iɲʊsi/ <u-zi> nyusi: akeuta ~ ananyoa
nyusi.
K, k
Kana /kana/ <u-i> kinywa, mdomo: ambira ~
kinywa, panua mdomo kidogo.
kibobosho /kibɔbɔ∫ɔ/ kitovu: mwana aghumbuwa ~ mtoto
amekatwa kitovu.
Kidari /kidaɣi/ <ki-vi> kidari: atiri ~
kiniini, ana kidari kikubwa; vika ~ mbee, weka kidari mbele.
Kidudu /kidʊdʊ/ <u-> uume: mwana atiri ~
kinywa, mtoto ana uume mdogo.
Kilumi /kilʊmi/ <ki-vi> kilimi: ~ kikee kufi
na ikoro, kilimi kipo karibu ya koromeo.
Kinenaa /kinɛna/ <ki-vi> kinena: ~ kikerera.
Kinena kinawasha.
Kinu /kinʊ/ <u-> uke: ~ kya nkyeku, uke wa
mzee.
Kinyinyi /kiɲiɲi/ <u-> fizi: mwana atiri ~`
filini, mtoto ana fizi laini.
Kiromu /kirɔmʊ/ <u-i> mdomo: ~ kya uwe
nkiniini ngota kya si, mdomo wa juu ni mkubwa kuliko wa chini.
Kisaa /kisaa/ <li-ya> matako: vika ~ ghembo,
kalasha matako chini.
Kisangu / kisaŋgʊ/ <u-zi> uso: ~ kyakwe kifani,
uso wake ni mchafu.
Kishengele /ki∫ɛŋgɛlɛ/ <ki-vi> kifundo cha mguu:
aumya ~ akeidima eenda fo, ameumia kifundo cha mguu hawezi kutembea.
Kishengele /kiʃɛŋgɛlɛ/ nm <ki-vi> kifundo cha
mguu: ~ kikevava, kifundo cha mguu kinauma.
Kisi /kisi/ <ki-vi> kiuno: runguta ~ mpaka
si,
Kisima /kisima/ kisima: mwana amanywa ~ mtoto
amekatwa kisima.
Kiwiliwili
/kiwiliwili/ <ki-vi> kiwiliwili:
~ kitiri mafua meengi den, kiwiliwili kina mifupa mingi sana.
Kyeeri /kjɛɛɣi/ <ki-vi> kidevu: ~ kya nka
kitiri nguyo, kidevu cha mwanamke kina ndevu.
M, m
Mafua a
uwe/mafʊa aʊwɛ/ nm <u-i> mifupa ya
maungo ya juu: ~ akulungye kisha, mifupa ya maungo ya juu umeunganika vizuri.
Mbafu/mbafʊ/ <ki-vi> kifua: mf, mbafu
ikebara, kifua kinauma.
Mbari /mbaɣi /nm <i-zi> mbavu: awa kafika ~
shikoo, ameanguka akavunjika mbavu changa.
Mbava ta
iriso/mbaβa ta iɣisɔ/ nm <i-zi> kope:
~ tighingaa miso, kope hulinda macho.
Mbwa /mbwa/ nm <i-zi> pua: ~ ifaamyaa, pua
inatumika kunusa; ~ ing’ani, pua ni kubwa.
Mfiko wa
imamu/mfikɔ wa imamʊ/ nm <ki-vi>
kibofu cha mkojo: ~ udoroshukye, kibofu cha mkojo kimetoboka.
Mini ta
marende/mini ta maɣɛnde/ nm <ki-vi>
vidole vya miguu: ~ tiifo ikumi, vidole vya miguu vipo kumi.
Mungo /mʊŋgo/ nm <u-i> mgongo: lema ~ kunja
mgongo; vika mwana ~ beba mtoto mgongoni.
N,n
Ndeu /ndɛʊ/ nm <li-ya> tumbo: ~ ikevava den,
tumbo linauma sana.
Ndi /ndi/ nm <li-ya> goti: firya ~ piga
goti; orwa ~ nyoosha goti.
Ngala /ŋgala/ nm <i-zi> kucha: vyaa ~ kata
kucha; ebikya ~ fuga kucha.
Ngoma ya
kuri/ŋgɔma ja kʊɣi/ nm <i-zi> ngoma
ya sikio: ~ yabarika, ngoma ya sikio imepasuka.
Ngoo /ŋgɔɔ/ nm <u-i> moyo: ~ ikekaba kwa
finya, moyo unadunda kwa kasi.
Ngosi/ŋgɔsi/ nm <i-zi> ngozi: ~ itiri mafwaa,
ngozi ina vinyweleo; ~ yampaluka, ngozi imepauka.
Ngoso /ŋgɔsɔ/ nm <u-I> mkundu: ~ ikeuta samu,
mkundu unatoa damu.
Ngushu /ŋgʊ∫ʊ/ nm <li-ya> shavu: fumba~ vimba
shavu; tira ~ shika shavu.
Nguyo /ŋgʊjɔ/ nm <i-zi> ndevu: uta~ nyoa
ndevu; mmya~ ota ndevu.
Nni /nni/ nm <ki-vi> kidole: orwa ~ nyoosha
kidole; lema ~ kunja kidole.
Nnrwe /ŋɣwɛ/ nm <ki-vi> kichwa: ~ wa mwana,
kichwa cha mtoto; ~ ukebara, kichwa kinauma.
Nraari /ŋɣaaɣi/ nm <u-i> mshipa: ~ ukeita samu
shiingi, mshipa unapitisha damu nyingi.
Nshesha /nʃɛʃa/ nm <u-> uroto: ifua lyitiri ~
nshesha mfumbutu den, mfupa una uroto mwingi sana.
Nyinyiri
ya iriso/ɲiɲiɣi ja iɣisɔ/ nm <i-zi>
mboni: ~ yaangiswa, mboni imechafuka; finga ~ fumba mboni.
Nyusi /ɲʊsi/ nm <u-zi> nyusi: illwa ~ ng’oa
nyusi; songosya ~ tinda nyusi
O, o
Oko /ɔkɔ/ nm <u-I/ mkono: ~ lukee lwaasha,
mkono mrefu; ~ lwa birika, mono wa birika.
S, s
Samu /samʊ/ nm <i-> damu: mwana aanguywa ~
mtoto amepungukiwa damu.
Shonyi /ʃↄɲi/ nm <i-zi> ngozi: ~ ya ng’umbe
ifani shuu, ngozi ya ng’ombe ni nyeusi.
Shoro /ʃↄrↄ/ nm <li-ya> paja: ~ ikerera,
linawasha.
Singo /siŋgↄ/ nm <i-zi> shingo: ~ ikerunguka,
shingo inazunguka.
T, t
Tutu /tʊtʊ/ nm <ki-vi> kisigino: ~ itiri
maanga, kisigino kina magaga.
U, u
Udwa /ʊdwa/ nm <i-zi> nyonga: ~ lwaengereka,
nyonga imetanuka.
Ukokwa /ʊkↄkwa/ nm <ki-vi> kiwiko: akabwa ~ lwa
kisangu, amepigwa kwa kiwiko usoni.
Ulumi /ʊlʊmi/ nm <u-zi> ulimi: ~ lukeonsha
shumbi na sukari, ulimi huonja chumvi na sukari.
Urende /ʊꙋɛndɛ/ nm <u-i> mguu: nsee akeorwa ~
kijana ananyoosha mguu.
Urongo /ʊrↄŋↄ/ nm <u-zi> ubongo: mwana atiri
ukiva lwa ~ mtoto ana matatizo ya ubongo.
Uroro /ʊꙋↄꙋↄ/ nm <u-> utosi: ~ wa mwana ukee
nkoo, utosi wa mtoto ni mchanga.
Utumbo
lusiise/ʊtʊmbↄ lʊsiisɛ/ nm <u-ya>
utumbo mwembaba: ~ lukee lwaasha ngota utumbo unini, utumbo mwembamba ni mrefu
kuliko utumbo mpana.
Utumbo
unini/ʊtʊmbↄ ʊnini/ nm <u-ya> utumbo:
mama alwee ~ unini mama anaumwa utumbo mpana.
Uvayo /ʊβajↄ/ nm <u-zi> unyayo: ~ lukevaria
kila ando, unyayo unakanyaga kila mahali.
Uwengu /ʊwɛŋgʊ/ nm <i-zi> 1 bandama: ~
lyabarika, bandama imepasuka. 2 kongosho: ~ ikee kufii na ndeu, kongosho iko
karibu na tumbo.
Y, y
Yaarwi /jaaꙋwi/ nm <li-ya> sikio: ~ lyiitye
foo, sikio halisikii.
Yuundu /jʊʊndʊ/ nm <li-ya> gego: ~ lyikevava,
gego linauma.
zungusha kiuno hadi chini.
MAWASILIANO
No comments:
Post a Comment
061058168